...

Najutia kutangaza uhusiano wangu mitandaoni Director Trevor

Malkia Faey – Meru

Director Trevor amesema kuwa anajutia kuweka uhusiano wake na mwanadada Eve Mungai kwenye mitandao ya kijamii na hadharani kwa ujumla

Ameyasema hayo katika mahojiano na Oga Obinna akiongeza kuwa watu walimhukumu bila kuzingatia pande zote mbili

Director Trevor na aliyekuwa mchumba wake Eve Mungai

Nikimnukuu Trevor alisema “Kwa muda fulani nilikuwa nafeel hivyo but in life you can’t choose what comes with it. But kuna time nilikuwa nawish singetokea social media. Kwanza hiyo time Andrew Kibe alikuwa ananinyorosha

Amesema kwamba alikosolewa Kwa masala mbalimbali bila kujieleza iwapo ni kweli au La.

Trevor walitengana na mwanadada Eve Mungai mnamo Februari mwaka huu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Seraphinite AcceleratorOptimized by Seraphinite Accelerator
Turns on site high speed to be attractive for people and search engines.